Shirika la Habari la Hawza, limechapisha riwaya ifuatayo kutoka katika kitabu “Ghurar al-Hikam”.
Imam Ali (as):
««السُّکُوتُ عَلَی الْأَحْمَقِ أَفْضَلُ جَوَابِهِ.»»
“Kunyamaza mbele ya mjinga ndiyo jibu bora zaidi kwake.”
Ghurar al-Hikam, Hadithi ya 1160
Maoni yako